![Millard Ayo](/img/default-banner.jpg)
- 56 749
- 1 939 118 427
Millard Ayo
Tanzania
Приєднався 22 вер 2012
Millard Ayo ni Mtangazaji na Mwandishi wa habari kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani na nje ya Tanzania kila siku kupitia TWITTER, FACEBOOK, INSTAGRAM UA-cam (@millardayo) na kwenye millardayo.com
MGOMO KARIAKOO, MADUKA YOTE YAFUNGWA, ZIGO LA LAWAMA TRA "MILIONI 15 "
MGOMO KARIAKOO, MADUKA YOTE YAFUNGWA, ZIGO LA LAWAMA TRA "MILIONI 15 "
Переглядів: 378
Відео
MIILI YA WATOTO WATATU NA BABA YAO YAWALIZA WATU ARUSHA,YAPELEKWA KUPUMZISHWA "INAUMA SANA"
Переглядів 2,6 тис.Годину тому
MIILI YA WATOTO WATATU NA BABA YAO YAWALIZA WATU ARUSHA,YAPELEKWA KUPUMZISHWA "INAUMA SANA"
NETANYAHU AAPA KUENDELEZA VITA KUNG’OA UTAWALA WA GAZA NA KUREJESHA MATEKA WA ISRAEL
Переглядів 2882 години тому
NETANYAHU AAPA KUENDELEZA VITA KUNG’OA UTAWALA WA GAZA NA KUREJESHA MATEKA WA ISRAEL
IDADI YA MAHUJAJI WALIOFARIKI KWA JOTO KALI WAKATI WA IBADA YA HIJJA YAPITA 1,300
Переглядів 1,3 тис.2 години тому
IDADI YA MAHUJAJI WALIOFARIKI KWA JOTO KALI WAKATI WA IBADA YA HIJJA YAPITA 1,300
"HATUJI KWA SABABU YA KIPINDI CHA KAMPENI, TUNAKUJA KUWATATULIA KERO ZA MAJI" NAIBU WAZIRI WA MAJI
Переглядів 3262 години тому
Naibu Waziri wa Maji Afunguka kwa wananchi hatuji kwa sababu ya kipindi cha kampeni,Tunakuja kuwatatulia changamoto zenu.
MTOTO WA TAJIRI AFARIKI NAKUOZEA NDANI ARUSHA, MWILI WAZIKWA HAPOHAPO "UMEHARIBIKA SANA"
Переглядів 9 тис.4 години тому
MTOTO WA TAJIRI AFARIKI NAKUOZEA NDANI ARUSHA, MWILI WAZIKWA HAPOHAPO "UMEHARIBIKA SANA"
DC. KOMBA APAGAWA NA JENGO KUBWA LA OFISI YA MTAA WA LWENGE GEITA, AOMBA KUPEWA OFISI
Переглядів 4084 години тому
DC. KOMBA APAGAWA NA JENGO KUBWA LA OFISI YA MTAA WA LWENGE GEITA, AOMBA KUPEWA OFISI
WADUDU MAARUFU NANE ARUSHA WABURUTWA MAHAKAMANI, WADAIWA KUCHEZA KAMARI
Переглядів 15 тис.7 годин тому
WADUDU MAARUFU NANE ARUSHA WABURUTWA MAHAKAMANI, WADAIWA KUCHEZA KAMARI
PWANI LAZIMA MPIRA UCHEZWE, COREFA WANAITENGENEZEA KALENDA KILONGA CUP
Переглядів 36317 годин тому
PWANI LAZIMA MPIRA UCHEZWE, COREFA WANAITENGENEZEA KALENDA KILONGA CUP
KWA DALILI HII USITARAJIE KUMUONA CHAMA AKICHEZA SIMBA SC MSIMU UJAO, YANGA WANASUBIRI JULAI 1 2024
Переглядів 10 тис.18 годин тому
KWA DALILI HII USITARAJIE KUMUONA CHAMA AKICHEZA SIMBA SC MSIMU UJAO, YANGA WANASUBIRI JULAI 1 2024
TUKIO LA MTOTO KUCHINJWA WAKATI AKITOKA SHULENI, RPC KATABAZI ATEKELEZA HILI KWA WANANCHI
Переглядів 3,1 тис.19 годин тому
TUKIO LA MTOTO KUCHINJWA WAKATI AKITOKA SHULENI, RPC KATABAZI ATEKELEZA HILI KWA WANANCHI
BALAA! NAIBU WAZIRI BYABATO AELEZA MTANDAO WA KIJAMII ULIVYOFANYA MAKUBWA KWA WANANCHI,PESA ZATOLEWA
Переглядів 1,9 тис.19 годин тому
BALAA! NAIBU WAZIRI BYABATO AELEZA MTANDAO WA KIJAMII ULIVYOFANYA MAKUBWA KWA WANANCHI,PESA ZATOLEWA
CHAMA MKATABA UMEISHA SIMBA, AHMED ALLY, KIFUPI YUPO HURU
Переглядів 9 тис.19 годин тому
CHAMA MKATABA UMEISHA SIMBA, AHMED ALLY, KIFUPI YUPO HURU
MOTO WAUA WATOTO WATATU NA BABA YAO ARUSHA, NDUGU AONGEA "CHANZO NI LAPTOP KULIPUKA"
Переглядів 36 тис.20 годин тому
MOTO WAUA WATOTO WATATU NA BABA YAO ARUSHA, NDUGU AONGEA "CHANZO NI LAPTOP KULIPUKA"
KERO SGR, SITI MOJA KUKATIWA WAWILI, KUCHELEWA KUONDOKA, MKURUGENI AKIRI ZIPO, AFAFANUA
Переглядів 10 тис.20 годин тому
KERO SGR, SITI MOJA KUKATIWA WAWILI, KUCHELEWA KUONDOKA, MKURUGENI AKIRI ZIPO, AFAFANUA
MWANASHERIA AMKALIA KOONI MKUU WA MKOA ZNZ, DC APEWA SIKU SABA SAKATA LA MTUMISHI KUWEKWA NDANI
Переглядів 2,8 тис.22 години тому
MWANASHERIA AMKALIA KOONI MKUU WA MKOA ZNZ, DC APEWA SIKU SABA SAKATA LA MTUMISHI KUWEKWA NDANI
YAMMY ATUA MWANZA KWA MARA YA KWANZA AFUNGUKA NGOMA ALIYOFANYA NA BARNABA FT. MBOSSO, "NIMETUKANWA"
Переглядів 1,5 тис.22 години тому
YAMMY ATUA MWANZA KWA MARA YA KWANZA AFUNGUKA NGOMA ALIYOFANYA NA BARNABA FT. MBOSSO, "NIMETUKANWA"
MKALI WA RAP DARASSA AFUNGUKA KOLABO YAKE NA MARIOO, KUTOTUMIA SIMU "NAPUNGUZA UZITO KWENYE MABEGA"
Переглядів 4,9 тис.23 години тому
MKALI WA RAP DARASSA AFUNGUKA KOLABO YAKE NA MARIOO, KUTOTUMIA SIMU "NAPUNGUZA UZITO KWENYE MABEGA"
WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAIBUKA NA MAPYA, WATAJA CHANZO MGOMO, TAMKO JIPYA LINAKUJA
Переглядів 22 тис.23 години тому
WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAIBUKA NA MAPYA, WATAJA CHANZO MGOMO, TAMKO JIPYA LINAKUJA
MGOMO WA KARIAKOO POLISI WAINGIA “MSHALE WA JICHO UTAWAHUSU” WANATAFUTWA ONYO KALI LATOLEWA
Переглядів 18 тис.23 години тому
MGOMO WA KARIAKOO POLISI WAINGIA “MSHALE WA JICHO UTAWAHUSU” WANATAFUTWA ONYO KALI LATOLEWA
SAKATA LA MADADA POA RC AJIBU "NITAKANYAGA KLACHI, BOMBOKO KAMWE HAYUKO PEKE YAKE TUTASIMAMA IMARA"
Переглядів 57 тис.2 години тому
SAKATA LA MADADA POA RC AJIBU "NITAKANYAGA KLACHI, BOMBOKO KAMWE HAYUKO PEKE YAKE TUTASIMAMA IMARA"
"MGOMO SIO SULUHISHO, MJITAFAKARI" RC CHALAMILA ATOA TAMKO KWA WAFANYABIASHARA WANAODAIWA KUGOMA
Переглядів 27 тис.2 години тому
"MGOMO SIO SULUHISHO, MJITAFAKARI" RC CHALAMILA ATOA TAMKO KWA WAFANYABIASHARA WANAODAIWA KUGOMA
KITUO CHA MAFUTA KIGOMA CHAUNGUA NA MOTO, RC NA DC WAFIKA ENEO LA TUKIO
Переглядів 15 тис.2 години тому
KITUO CHA MAFUTA KIGOMA CHAUNGUA NA MOTO, RC NA DC WAFIKA ENEO LA TUKIO
SERIKALI KUIMARISHA HUDUMA ZA UOKOAJI PINDI AJALI ZINAPOTOKEA, WAZIRI WA UCHUKUZI ZNZ AFUNGUKA
Переглядів 4492 години тому
SERIKALI KUIMARISHA HUDUMA ZA UOKOAJI PINDI AJALI ZINAPOTOKEA, WAZIRI WA UCHUKUZI ZNZ AFUNGUKA
TAARIFA MPYA YA NGURUWE DODOMA "ATAUNGANA NA WENZAKE, MTACHOMA SHAMBANI"
Переглядів 16 тис.2 години тому
TAARIFA MPYA YA NGURUWE DODOMA "ATAUNGANA NA WENZAKE, MTACHOMA SHAMBANI"
RAIS SAMIA ATEUA BOSS MPYA TBS, WASAIDIZI WAKE IKULU AWAPA UKURUGENZI
Переглядів 12 тис.2 години тому
RAIS SAMIA ATEUA BOSS MPYA TBS, WASAIDIZI WAKE IKULU AWAPA UKURUGENZI
TAS WAFUNGUKA MAPYA KIFO CHA ASIMWE, "HATUNA AMANI, HII NI NCHI YETU"
Переглядів 5 тис.2 години тому
TAS WAFUNGUKA MAPYA KIFO CHA ASIMWE, "HATUNA AMANI, HII NI NCHI YETU"
MAELEKEZO YA JKT KWA WAHITIMU KIDATO CHA SITA "WALE AMBAO HAWAJARIPOTI WARIPOTI MARA MOJA MAKAMBINI"
Переглядів 7 тис.4 години тому
MAELEKEZO YA JKT KWA WAHITIMU KIDATO CHA SITA "WALE AMBAO HAWAJARIPOTI WARIPOTI MARA MOJA MAKAMBINI"
MBUNGE KINGU AKIWASHA BUNGENI, AWABANA MAWAZIRI SAKATA LA SUKARI "HATUWEZI KURUHUSU JAMBO HILI"
Переглядів 6224 години тому
MBUNGE KINGU AKIWASHA BUNGENI, AWABANA MAWAZIRI SAKATA LA SUKARI "HATUWEZI KURUHUSU JAMBO HILI"
MBUNGE KUCHAUKA AFUNGUKA MAZITO BUNGENI, AWABANA MWIGULU & MKUMBO SAKATA LA SGR "TUBADILISHE SHERIA"
Переглядів 5444 години тому
MBUNGE KUCHAUKA AFUNGUKA MAZITO BUNGENI, AWABANA MWIGULU & MKUMBO SAKATA LA SGR "TUBADILISHE SHERIA"
Aise noma sana 😮😮😮😮
Poleni jamn! Mungu awape faraja...Dah.. painful!!!
Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake mola awape khauli thabiti ndugu yetu sote ni njia moja mola akutie nguvu mama ulie poteza mme na watoto inshallah
Noma sana
Jamani hivi huyu jamaa si askari hukoo ngorongoro au,, naomba kujua
Upo sawa mkuuy miaka mia kaka😘
Kuishi mwenyewe ni tatizo sasa uwezi jua ila sio tukio la kwanza Kuna mdada pia alikufa hapo kwa iddi
Wavulana waarusha wasenge tu sijawai kuwaelewa majambazi
Hawa waarusha hata wauawe tu arusha wanalea usenge hata kuongea tu ubajua wavita bangi
Poleni sn mungu awalaze mahalapema peponi inauma sn sn jamani.
Poleni ndugu zangu Mungu awape faraja ya moioyo yenu., Pia Madereva Toyo mmefanya Kwa sehemu yenu Mungu awajalie mwisho mwema
Mgomo ni njia ya kufikisha ujumbe kwa haraka maana kodi hazieleweki
Inalillah wainailayihi rajiun kulunafsi dhaika tulimauti polen sana wana familia allah awape subra na ampe kauli thabit huyo bwana alietangulia na wanae na atujalie nasisi mwisho mwema hakika kifo huja gafla
Poreni sana sana Mungu akupe subra
Angalieni kwa makini haya makundi ya ajabu ajabu😊
Kiukwer poleni sana jamani mungu awape imani imala
2024
pole san dada hat hivy umepamban
Dahhh!!!! So sad
🎉🎉Pongezi Sana mwanangu Mungu akufungulie akutangulie ❤❤🙏🙏
Mtajua vp na mtu kazikwa ata bila kuosha kaharibika, aiwezekani kujua sababu ya kifo ni kumuombea kwa mungu aende salama
So sad, Mungu awapokee kwake Amina
Thanks mulokozi we hv learnt alot , im watching from New zealand
Mwenyezi Mungu akakuinue viwango na viwango..nimejifunza kitu ahsante 🙏
Poleni saana mwenyeezi mungu Awalaze mahala pema peponi ameen 😭💔
Kwa kuwa umepost ayo tv acha nisikilize
Msiwe mna wahoji hawa mateja bana ni wahalifu kwenye kivuli Cha sanaa
Uje uku uone mpaka watoto wadogo ndio lugha yao ...bangi wanavuta mpaka watu wazima na heshima zao
Poleni cna 😢😢😢
2024
Eee Mungu tusaidie Taifa la Mungu kama vijana Bwana atusaidie. Nimeumia sana hakika
Dah kwann mungu jaman kwann dah
Hpn glory ucseme hivyo ahadi ikifika hakuna wakuizuia kikubwa ni kuwaombea tu
Kwani joti anasali Thehebu gan 😅
Na wasahau kuangamiza hamas
Hii itawafanya watu kuolewa na kudumu kwenye ndoa zao,hizi biashara ndio zinawapa viburi vijana ili wasioe na wadada wasidumu kwenye ndoa kwa kujivunia kuwa watauza miili yao
Ila arusha makonda kaz anayo
Rip
Suleiman alisema dunia ni ubatili mtupu. Mungu awafariji wafiwa
Nido saa sita
Allah awape amani waliotangulia na neema kubwa kufa ile hali umemakiza hajji... Allah atufanyie wepesi tufike huko na ikiwa kuna kheir na hata tuzikwe huko walikozikwa vipenzi vya Allah...aamin
Sadaka
Daah poleni sana jamani that's painful 😢 😫 😢😢
Bibi asingekubali kusign , iweje Bank wampigie bibi baada ya kuto kulipwa??? Na sio wakati wanamkopesha , Watanzania msiwe mnasign kitu bila kusoma Kwanza
Kule polisi kuna wataalamu wakuhoji.Kama huyo mke Alipohojiwa kakiri kua Anaifanya hiyo huduma.si itakua polisi wamekusaidia hata wewe.Basi muombe mola Akuonyeshe uhalisia maana uhalifu hauangaliwe sura na umbile la mtu.Halafu lugha unayotumia sio yakumuombea mhe Rais.na ulivyo tu huonekani kama unaendana na maneno yako
😢so sad
Wagawe uwatawale ukisikia neno mmoja mmoja 😂😂😂 kidole kimoja hakivunji chawa😂😂😂
Hayo maelezo ya mdogo wake bnafsi sijaelewa kufika nje kasikia harufu hajui hata ya nini anampgia cm baba yake moja kwamoja anamwambia asingie peke yake alijua nini? mpk amzuie asingie mwenyewe au hata kuchungulia madirishani na vipi milango ilifungwa au aliikuta wazi
Nimewaza kama wewe lakini vipi je una mwanasheria mzuri?
@@sadockmhinza699 😁🤗 nimewaza tu jmn
Dunia ina mambo hii jamani! Siri sirini
Njaa nazo some time zinabowa kwanini asingeomba nakujieleza mpaka awaibiye majirani?kila siku wizi sio vema.ila hazabu walio mupa sio nzuri haimstaili,walio mchukiliya sheria.wafunguliwe kesi.tulitoka shimoni,tutarudi shimoni.
CCM wameamua kumpa kchwa Tundu lisu aonekane nabii wa kwel cku zle kafanya mkutano kariakoo kawambia mnaamin kwel Samia atatekereza hayo makubariano kama sio kujipanga jins yakuwanyamazisha Kwa nguvu nyngne
Inna lillah wa inna ilayhi raji'uun... ! 😭
Jamani arumeru haupiti hata mwezi tukio juu ya tukio Allah atupe mwisho mwema